NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.
“DAWA ya ARV ni dawa muhimu na sisi watu tunaoishi na Virusi vya Ukimwi(VVU), dawa hizi tunapaswa tutumie kwa maisha yetu yote hakuna dawa nyengine mbadala kwa sasa kwetu zaidi ya ARV”.
Kwa sasa hakuna dawa yoyote iliyopatikana, ambayo inaweza kupunguza VVU kwa sasa, ispokuwa dawa za ARV ndio maana baada ya mtu kugundulika kuwa na VVU huanzishwa dawa hiyo”, maneno hayo yalisemwa na mmoja wa watu wanaoishi na VVU kisiwani Pemba.
Kufuatia hali hiyo, hivi karibuni shirika la Amref Health Africa lilizindua rasmi mradi wake wa Afya Kamilifu, unaolenga kupanua juhudi za kutoa huduma za matunzo na matibabu ya kupunguza VVU Visiwani Zanzibar na Mkoa wa Tanga, ambao unaungana na juhudi za dunia kumaliza UKIMWI ifikapo 2030.
Mradi huo wa miaka mitano unaotekelezwa visiwani Zanzibar na Tanga ambao unaunga mkono malengo mapya ya programu ya pamoja ya Umoja wa Mataifa kuhusu VVU/UKIMWI ya asilimia 95, ikiwa na lengo la kupanua tiba ya kupunguza virusi na kumaliza UKIMWI ifikapo 2030.
Article first published on https://zanzibarleo.co.tz/2019/06/26/arv-ni-dawa-pekee-za-kupunguza-makali-ya-virusi-vya-ukimwi/
In four counties of western Kenya, a silent but intense battle is being fought against…
In 1986, Mzee Lepoo watched his father save their village from devastating floods. By observing…
Amref Health Africa in Kenya in partnership with Global Fund has successfully constructed and carried…
Nairobi, 7 February 2025: In the lead-up to International Women's Day 2025, the Africa Health Agenda International…
DAVOS, Switzerland – At this year’s World Economic Forum, UNFPA and private sector partners Amref, Bayer,…
Climate change is projected to cause approximately 250,000 additional deaths annually between 2030 and 2050, with undernutrition,…