News

ARV ni dawa pekee za kupunguza Makali ya virusi vya ukimwi

Wanaoishi na VVU waaswa kutotumia dawa mbadala

NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.

“DAWA ya ARV ni dawa muhimu na sisi watu tunaoishi na Virusi vya Ukimwi(VVU), dawa hizi tunapaswa tutumie kwa maisha yetu yote hakuna dawa nyengine mbadala kwa sasa kwetu zaidi ya ARV”.

Kwa sasa hakuna dawa yoyote iliyopatikana, ambayo inaweza kupunguza VVU kwa sasa, ispokuwa dawa za ARV ndio maana baada ya mtu kugundulika kuwa na VVU huanzishwa dawa hiyo”, maneno hayo yalisemwa na mmoja wa watu wanaoishi na VVU kisiwani Pemba.

Kufuatia hali hiyo, hivi karibuni shirika la Amref Health Africa lilizindua rasmi mradi wake wa Afya Kamilifu, unaolenga kupanua juhudi za kutoa huduma za matunzo na matibabu ya kupunguza VVU Visiwani Zanzibar na Mkoa wa Tanga, ambao unaungana na juhudi za dunia kumaliza UKIMWI ifikapo 2030.

Mradi huo wa miaka mitano unaotekelezwa visiwani Zanzibar na Tanga ambao unaunga mkono malengo mapya ya programu ya pamoja ya Umoja wa Mataifa kuhusu VVU/UKIMWI ya asilimia 95, ikiwa na lengo la kupanua tiba ya kupunguza virusi na kumaliza UKIMWI ifikapo 2030.

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar, Asha Ali Abdalla katikati akibonyeza laptop kuashiria uzinduzi wa Mradi wa Afya kamilifu ulio chini ya shirika la Amref Health Africa.

Article first published on https://zanzibarleo.co.tz/2019/06/26/arv-ni-dawa-pekee-za-kupunguza-makali-ya-virusi-vya-ukimwi/

Amref Health Africa

Amref Health Africa teams up with African communities to create lasting health change.

Recent Posts

REACH-OUT Project Stakeholders in Busia County Co-Create Evidence-Informed Solutions to Strengthen Childhood Immunisation

The REACH-OUT Project held a dynamic two-day co-creation workshop in Busia County, bringing together National…

11 hours ago

The Power of Connection: Reflections from the 2026 International SBCC Summit

In June, I travelled to Panama City to represent Amref Health Africa at the 2026 International…

14 hours ago

REACH-OUT Advances Digital Innovation to Strengthen Immunisation Microplanning in Kenya

Despite significant progress in immunisation, many children still miss out on life-saving vaccines. Health systems…

16 hours ago

Making Safe Care Possible, One Drop at a Time

"How do you deliver a baby without water?"  For Laurence Erongat, a Nursing Officer at Lopiding Hospital…

3 days ago

AHAIC’s Flags of Unity Wins Silver at the Prestigious 2026 Creative Circle Awards

The Africa Health Agenda International Conference (AHAIC) continues to strengthen its position as one of Africa's most…

1 week ago

I Will Cross The Waters For You: The Weight on Emmanuel Malama, Zambia’s Community Health Worker

In this parts its to understand that for many families, the first line of care…

2 weeks ago