News

ARV ni dawa pekee za kupunguza Makali ya virusi vya ukimwi

Wanaoishi na VVU waaswa kutotumia dawa mbadala

NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.

“DAWA ya ARV ni dawa muhimu na sisi watu tunaoishi na Virusi vya Ukimwi(VVU), dawa hizi tunapaswa tutumie kwa maisha yetu yote hakuna dawa nyengine mbadala kwa sasa kwetu zaidi ya ARV”.

Kwa sasa hakuna dawa yoyote iliyopatikana, ambayo inaweza kupunguza VVU kwa sasa, ispokuwa dawa za ARV ndio maana baada ya mtu kugundulika kuwa na VVU huanzishwa dawa hiyo”, maneno hayo yalisemwa na mmoja wa watu wanaoishi na VVU kisiwani Pemba.

Kufuatia hali hiyo, hivi karibuni shirika la Amref Health Africa lilizindua rasmi mradi wake wa Afya Kamilifu, unaolenga kupanua juhudi za kutoa huduma za matunzo na matibabu ya kupunguza VVU Visiwani Zanzibar na Mkoa wa Tanga, ambao unaungana na juhudi za dunia kumaliza UKIMWI ifikapo 2030.

Mradi huo wa miaka mitano unaotekelezwa visiwani Zanzibar na Tanga ambao unaunga mkono malengo mapya ya programu ya pamoja ya Umoja wa Mataifa kuhusu VVU/UKIMWI ya asilimia 95, ikiwa na lengo la kupanua tiba ya kupunguza virusi na kumaliza UKIMWI ifikapo 2030.

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar, Asha Ali Abdalla katikati akibonyeza laptop kuashiria uzinduzi wa Mradi wa Afya kamilifu ulio chini ya shirika la Amref Health Africa.

Article first published on https://zanzibarleo.co.tz/2019/06/26/arv-ni-dawa-pekee-za-kupunguza-makali-ya-virusi-vya-ukimwi/

Amref Health Africa

Amref Health Africa teams up with African communities to create lasting health change.

Recent Posts

Uzazi Salama Programme Launches in Kilifi County

The KES 225 Million investment aims to impact 500,000 lives by supporting reproductive, maternal, neonatal,…

2 days ago

African campaigner calls for targeted interventions to eliminate malaria

NAIROBI, April 25 (Xinhua) -- The goal of eliminating malaria in Africa by 2030 can…

2 days ago

Does Africa need a rethink on tackling violent extremism?

African leaders meeting at a security summit in Nigeria say the continent needs a new…

2 days ago

Saving Lives through Better Malaria Diagnosis

Malaria remains a major public health problem in tropical regions of the world. Despite being…

2 days ago

Incentivizing Non-monetary Volunteering: Improving community involvement with In-kind motivation in public health services.

Just before the Vaccination Action Network (VAN), the Infectious Diseases Institute (IDI) set out to…

4 days ago

Amref Health Africa Achieves SWA Partnership Commitment through first-ever Pan-African Common Position on Climate and Health.

Amref Health Africa, the leading health NGO in Africa, has successfully achieved its Mutual Accountability Mechanism…

1 week ago